Mshauri wa Biashara wa Kimataifa wa Kujitegemea wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits LTD , James Rugemarila (kushoto) na Mwenyekiti wa kampuni hiyo, Benedicta Rugemalira wakim (kulia) zawadia Daktari Bingwa wa magonjwa ya saratani ya matiti, Profesa Anthony Pais kutoka India ambaye amemaliza ziara nchini baada ya kufanya mihadhara mbalimbali na madaktari kuhusu ugonjwa huo. Profesa Pais alifanyiwa hafla ya kuagwa jana katika Hoteli ya Courty Yard, Dar es Salaam. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Rugemalira akifafanua jambo wakati wa hafla hiyo ambapo pia alisema kuwa wana mpango wa kujenga kituo kikubwa cha mafunzo na tiba ya Saratani ya Matiti mjini Bukoba Kagera.
Mwanafunzi wa Chuo cha Tiba Muhimbili, Dk. Sima Rugarabamu akielezea jinsi walivyofurahishwa na mihadhara ilioyoendeshwa na Profesa Anthony. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Baadhi ya wageni waalikwa ambao ni waandishi wa habari wakiwa katika hafla hiyo.
Mama Rugemalira akibadilishana mawazo na Profesa Anthony
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...