Mratibu
wa Rock City Marathon kutoka kampuni ya Capital Plus International Ltd,
Bi Grace Sanga (wa kwanza kulia) akipongezwa na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo
Tanzania (BMT) Bw. Dioniz Malinzi (Wa nne kulia) ambaye alikuwa Mgeni Rasmi
katika uzinduzi wa Rock City Marathon 2014, jana jijini Dar es Salaam
jana. Mbio hizo zitafanyika tarehe 26 Oktoba katika uwanja wa CCM Kirumba
jijini Mwanza.
Baadhi ya wawakilishi wa wadhamini wa mbio za Rock
City Marathon 2014 pamoja na viongozi wa chama cha mchezo wa riadha Tanzania,
wakifuatilia yanayojiri wakati wa uzinduzi wa mbio hizo jana iliyofanyika
Jijini Dar es Salaam. Mbio hizo zitafanyika tarehe 26 Oktoba
katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Msemaji wa Kampuni ya Capital Plus
International, ambao ni waandaaji wa mbio za Rock City Marathon, Bw. Mathew
Kasonta, akizungumuza na wageni waalikwa katika uzinduzi wa mbio hizo jana
iliyofanyika Jijini Dar es Salaam. Mbio hizo zitafanyika tarehe 26 Oktoba
katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Shirika la
Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF ) Bw. Jumanne Mbepo, ambao ndo wadhamini wakuu
wa mbio za Rock City Marathon 2014, akizungumza machache wakati wa uzinduzi wa
mbio hizo iliyofanyika Jijini Dar es Salaam jana. Mbio hizo zitafanyika tarehe
26 Oktoba katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Riadha
Tanzania (RT), Suleiman Nyambui akizungumza machache wakati wa uzinduzi wa mbio
hizo iliyofanyika Jijini Dar es Salaam jana. Mbio hizo zitafanyika tarehe 26
Oktoba katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Afisa Uhusiano na mawasiliano wa TSN Group
Koiya Kibanga, ambao ni moja wa wadhamini wakuu wa mbio za Rock City Marathon
2014, akizungumza machache wakati wa uzinduzi wa mbio hizo iliyofanyika Jijini
Dar es Salaam jana. Mbio hizo zitafanyika tarehe 26 Oktoba katika uwanja wa CCM
Kirumba jijini Mwanza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...