Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2014 wametembelea hifadhi ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) na kujifunza mambo mengi kuhusiana na hifadhi hiyo ya mlima kilamanjaro. Pichani ni warembo hao wakipiga picha na mdau mkubwa wa masuala ya urembo mkoani Kilimajaro, Athena Mawalla wa mgahawa wa Meku's Bistro wakati warembo hao walipomtembelea wakiwa njiani kwenda KINAPA.
Home
Unlabelled
MISS TANZANIA WATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMAJARO (KINAPA)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Warembo msome mjiendeleze ili muweze kujisimamia wenyewe katika maisha yajayo. Msikae tu bila mpango wowote, baadaye muolewe au msiolewe muwe uwezo wa kujikimu na maisha na kusaidia jamaa zenu.
ReplyDelete