Kamati ya Lugha na utamaduni, Jumuiya ya Watanzania Washington DC, Maryland na Virginia (DMV) inapenda kuwaalika wana DMV na wadau wote wa Lugha ya Kiswahili kwenye mkutano na viongozi wa Chama cha Ukuzaji wa Kiswahili Duniani (CHAUKIDU) utakaofanyika siku ya Ijumaa Septemba 26, 2014 kuanzia saa nane mchana. Hii ni Fursa ya kukutana wa Wahadhiri wa lugha ya Kiswahili kutoka Vyuo mbali mbali hapa Marekani kwa lengo moja la kuendeleza lugha yetu ya Kiswahili. Anuani ya Ukumbi wa Mkutano vitafuata baadaye.
Tunaomba wale mtakaoweza kuhudhuria kujiandikisha na kama unaswali pia wasiliana kupitia Mwanakamati na Kiongozi wa Jumuiya ya Watanzania hapa DMV wafuatao hapo chini:
Mwanakamati Mkuu: Bi. Asha Nyang’anyi (301) 793-2833
Makamu Katibu ATC-DMV : Mhe. Bernadeta Kaiza 240-704-5899
Mwanakamati Mkuu: Bi. Asha Nyang’anyi (301) 793-2833
Makamu Katibu ATC-DMV : Mhe. Bernadeta Kaiza 240-704-5899
Endeleza kiswahili lugha inayounganisha Afrika mashariki na kati.
ReplyDelete