Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano wa Benki ya NBC, William Kallaghe (kushoto) akizungumza huku Mkuu wa Huduma za Rejareja za Kibenki wa NBC, Mongateko Makongoro akimsikiliza katika Mkutano wa 24 wa Wadau na Wanachama wa Mfuko wa PPF uliofanyika hivi karibuni jijini Arusha.
Mkuu wa Huduma za Rejareja za Kibenki wa NBC, Mongateko Makongoro akizungumza katika Mkutano huo.
Kaimu Mhazini Mkuu wa Benki ya NBC Tanzania, Ivan Tarimo, (wa pili kushoto), akizungumza wakati wa tafrija ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na benki hiyo kwa wajumbe wa mkutano wa 24 wa wanachama na wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF jijini Arusha hivi karibuni. Wengine pichani kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya PPF, Ramadhan Khija, na watatu kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa PPF, William Erio.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio, (watatu kulia), akizungumza wakati wa hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Benki ya NBC Limited, kwa wajumbe wa mkutano wa 24 wa wanachama na wadau wa PPF jijini Arusha. Wengine pichani kutoka kushoto ni Kaimu Mhazini Mhuu Benki ya NBC, Ivan Tarimo, Mkuu wa Huduma za Rejareja za Kibenki, Mongateko Makongoro, mwenyekiti wa bodi ya wadhamini ya Mfuko wa Pensheni wa PPF, Ramadhan Khija, na wafanyakazi wa NBC

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...