Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo
Prof. Elisante OleGabriel akiongea na wahitimu wa programu
ya kujitolea wa Vyuo Vikuu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es
Salaam.Kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa VSO International Tanzania Bw.
Jean Van Wetter.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habar i Vijana, Utamaduni na Michezo
Prof. Elisante OleGabriel katikati akimpa Cheti Dada Ndidi Tumpe
wakati wa kuhitimisha Programu ya kujitolea kwa Vijana Wahitimu
wa Vyuo Vikuu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuila ni
Mkurugenzi Mkazi wa VSO International Tanzania Bw. Jean Van Wetter.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habar i Vijana, Utamaduni na Michezo
Prof. Elisante OleGabriel aleyekaa katikati katikapicha ya Pamoja na
wahitimu wa Programu ya kujitolea kwa Vijana Wahitimu wa Vyuo
Vikuu katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuila ni Mkurugenzi
Mkazi wa VSO International Tanzania Bw. Jean Van Wetter.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...