RATIBA ya msiba wa Ruth KASHASHA:

Tutaaga kuanzia saa 6 mchana leo Jumapili, September 7, 2014 hapa nyumbani kwangu Segerea mwisho.

 Mazishi yatafanyika kesho Jumatatu, yatatanguliwa na Ibada ya kumuombea marehemu ktk kanisa Katolki la St. Peter's Oysterbay saa 7:00 mchana na baadaye kuelekea makaburi ya K'ndoni kwa mazishi saa 9 mchana. 

Bwana alitoa, Bwana ametwaa, jina lake litukuzwe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...