RATIBA ya msiba wa Ruth KASHASHA:
Tutaaga kuanzia saa 6 mchana leo Jumapili, September 7, 2014 hapa nyumbani kwangu Segerea mwisho.
Mazishi yatafanyika kesho Jumatatu, yatatanguliwa na Ibada ya kumuombea marehemu ktk kanisa Katolki la St. Peter's Oysterbay saa 7:00 mchana na baadaye kuelekea makaburi ya K'ndoni kwa mazishi saa 9 mchana.
Bwana alitoa, Bwana ametwaa, jina lake litukuzwe.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...