Meneja Mahusiano wa  Mgodi wa North Mara Bi Fatuma Mssumi (mbele) akielezea shughuli za mgodi wa North Mara mbele ya jopo la majaji waliotembelea mgodi huo ili kuendelea na zoezi lake la  kumtafuta  mshindi wa Tuzo ya Rais ya Huduma za Jamii na Uwezeshaji.
 Afisa Mahusiano wa Mgodi wa North Mara Bw. Zakayo Kalebo (wa tatu kutoka kushoto) akielezea mchango wa mgodi wa North Mara katika ujenzi wa nyumba za  wauguzi wa zahanati ya Matongo (zinazoonekana nyuma)  mbele ya timu ya  majaji  na sekretarieti iliyotembelea mradi wa nyumba hizo. Mradi wa nyumba hizo uligharimu   Dola za Marekani 100,000.
 Afisa Uhusiano wa Kijiji cha Matongo Bw. Magesa  Wanjara akionesha jinsi ya kutumia bomba la kisima cha maji kilichofadhiliwa na  mgodi wa North Mara mbele ya  timu ya majaji, sekretarieti na wajumbe wengine.
 Afisa Mahusiano wa Mgodi wa North Mara Bw. Zakayo Kalebo ( wa tano kutoka kushoto) akielezea mchango wa mgodi wa North Mara katika uwezeshaji wa kikundi cha vijana katika mradi wa kitalu cha mboga za majani, mbele ya majaji na sekretarieti iliyotembelea kitalu hicho. (kinachoonekana kwa nyuma).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...