Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume Bi. Agnes Mgeyekwa akizungumza na wanamichezo wa TUMESHERIA Sports Club watakaoshiriki mashindano ya SHIMIWI Morogoro.
Wanamichezo wa TUMESHERIA Sports Club wakimsikiliza Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume Bi. Agnes Mgeyekwa (hayupo pichani) wakati wa kuagwa kwenda kushiriki mashindano ya SHIMIWI mkoani Morogoro.
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa Tume Bw. Peter Kalonga akizungumza wakati wa kuwaaga watumishi wa Tume watakaoshiriki mashindano ya SHIMIWI mkoani Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...