Meya wa Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula
akionyesha fomu ya kujisajili kushiriki mbio za kilomita tano zitakazofanyika
Oktoba 26 baada ya kuzindua usajili wa washiriki wa mashindano ya Rock City
Marathon jijini Mwanza, jana
Meya wa Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula akiongea muda mfupi kabla ya kuzindua usajili wa washiriki wa mashindano ya Rock City Marathon jijini Mwanza jana ambapo alichukua fomu ya kujisajili kushiriki mbio za kilomita tano zitakazofanyika Oktoba 26.
Mratibu wa mashindano ya mbio za Rock City Marathon 2014, Mathew Kasonta, akiongea wakati wa uzinduzi wa usajili wa washiriki wa mashindano hayo jijini Mwanza jana ambapo Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula, alichukua fomu ya kujisajili kushiriki mbio za kilomita tano zitakazofanyika Oktoba 26.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Riadha mkoa wa Mwanza, Charles Kimune, akiongea machache kabla ya kumkaribisha Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula, kuzindua usajili wa washiriki wa mashindano hayo jijini Mwanza jana ambapo Mabula alichukua fomu ya kujisajili kushiriki mbio za kilomita tano zitakazofanyika Oktoba 26.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Riadha mkoa wa Mwanza, Charles Kimune, akiongea machache kabla ya kumkaribisha Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula, kuzindua usajili wa washiriki wa mashindano hayo jijini Mwanza jana ambapo Mabula alichukua fomu ya kujisajili kushiriki mbio za kilomita tano zitakazofanyika Oktoba 26.
Meya wa Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula akiongea muda mfupi kabla ya kuzindua usajili wa washiriki wa mashindano ya Rock City Marathon jijini Mwanza jana ambapo alichukua fomu ya kujisajili kushiriki mbio za kilomita tano zitakazofanyika Oktoba 26.
Mratibu wa mashindano ya mbio za Rock City Marathon 2014, Mathew Kasonta, akiongea wakati wa uzinduzi wa usajili wa washiriki wa mashindano hayo jijini Mwanza jana ambapo Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula, alichukua fomu ya kujisajili kushiriki mbio za kilomita tano zitakazofanyika Oktoba 26.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Riadha mkoa wa Mwanza, Charles Kimune, akiongea machache kabla ya kumkaribisha Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula, kuzindua usajili wa washiriki wa mashindano hayo jijini Mwanza jana ambapo Mabula alichukua fomu ya kujisajili kushiriki mbio za kilomita tano zitakazofanyika Oktoba 26.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Riadha mkoa wa Mwanza, Charles Kimune, akiongea machache kabla ya kumkaribisha Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula, kuzindua usajili wa washiriki wa mashindano hayo jijini Mwanza jana ambapo Mabula alichukua fomu ya kujisajili kushiriki mbio za kilomita tano zitakazofanyika Oktoba 26.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...