Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Chuo cha Ufundi Arusha(ATC)Gasto Leseiyo akiwa ame ‘pose’ kwa picha na Bibi harusi Federica Sikale baada ya kufunga pingu za maisha katika Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu Ngarenaro Arusha jana na kufatiwa na sherehe iliyofanyika ukumbi wa Leons Garden Sakina.
Gasto Leseiyo na Mke wake Federica Sikale baada ya kufunga pingu za maisha katika Kanisa Katoliki Parokia ya Roho Mtakatifu Ngarenaro Arusha wakiwa katika picha ya pamoja na Mama wazazi .
Bwana harusi Gasto Leseiyo akisalimia wageni kwenye ukumbi wa Leons Garden,Sakina jijini Arusha akiwa na Mke wake Federica Sikale baada ya kufunga pingu za maisha.
Bwana harusi Gasto Leseiyo na Mke wake Federica Sikale wakiwa na wapambe wao Endrick Fredick(shoto) na Lucy Fransis(kulia) kwenye ukumbi wa Leons Garden Sakina.
Bwana harusi Gasto Leseiyo na Mke wake Federica Sikale wakijumuika kusakata muziki na ndugu zao waliohudhuria sherehe hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...