Padri Evod Shao (kulia) akiongoza  misa ya shukurani ya Edgar Mutta  (hayupo pichani) iliyofanyika Silver Spring, Maryland nchini Marekani ya kumtolea Mungu shukurani ya kuwezesha kupoma maradhi yaliyokua yakimsumbua kushoto ni Padri Leandry Kimario 
Edgar Mutta (kati) katika picha ya pamoja na wazazi wake wakti misa ya shukurani ikiendelea.
Kulia ni Adrian Mutta na mama yake wakiendelea na misa ya shukurani iliyofanyika siku ya Jumamosi Sept 27, 2014.
Judith na Liberata (kulia) wakifuatilia misa.
McDonald akisoma somo.
Padri Leandry Kimario akiombea familia ya Colonel Adolph Mutta ambaye ni mwambata wa Jeshi Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani na Canada
Mtoto Brian akiongoza kwaya kwa kupiga kinanda.
Watanzania na marafiki zao waliohudhuria misa ya shukurani ya Edgar Mutta.
Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico Mhe. Liberata Mulamula akiongea jambo na Balozi Karume na mkewe kushoto ni Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV bwn. Iddi Sandaly.
Colonel Mutta akiotoa neno la shukurani.
Kwa picha zaidi bofya HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...