Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili ya kambi yao jijini Dar es Salaam na baada ya semina asubuhi na mapumziko ya mchana jioni hii wamefanya mazoezi katika chumba maalum cha mazoezi 'Gym', ungana na mpigapicha wa Father Kidevu Blog katika picha mbalimbali za warembo hao katika kambi yao.
Home
Unlabelled
WAREMBO MISS TANZANIA WAJIFUA GYM KUIWEKA MIILI YAO SAFI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Picha ya kwanza hapo juu Miss anapiga mazoezi vizuri.
ReplyDeletehahahaha uwiiiiiii hahaha
ReplyDeletena mwingine anamuonea Donge
ReplyDeleteYeah hata mie nimeipenda hiyo picha,yuko flexible!
ReplyDelete