Mshambuliaji wa Yanga Mrisho Ngasa, kushoto akimtoka
beki wa Azam FC, Erasto Nyoni katika mchezo wa Ngao ya Hisani uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa
jijini Dar es Salaam. Yanya imeshinda 3-0.
Kikosi cha Azam FC.
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hahahahahahahahaha kwikwikwikwikwikwikwikwikwi....mmmmmmmmmmmmm.....Pelekeni salam msimbazi....
ReplyDeletesafi sana picha ndiyo limeanza bandugu, mwendo mpaka klabu bingwa barani africa, wana yanga imara na maximo imara
ReplyDeleteAnkali, tupatie majina ya wachezaji ktk picha ya waliooanza first eleven ya mechi hii ya Ngao ya Hisani kati ya timu za Yanga na Azam.
ReplyDeleteGlobu ya Jamii inasomwa duniani kote na si wasomaji wote wanajua sura za wachezaji ktk picha.
Hivyo Ankali tafadhali zingatia viwango vya kukamilisha habari kwa wasomaji wa blogu hii maaaarufu kupita zote inayotumia lugha ya Kiswahili Duniani.
Mdau
Diaspora.
Waliosimama, Nadir Haroub (Canavaro)Jaja, Osca Joshua. Calvin Yondani, waliochuchumaa Deogratias Munisi (Dida) Haruna Niyonzima, Mrisho Ngasa, Juma Abdul, Nizal Halfan, Mbuyu Twite... Hope utaenjoy mwana disapora
ReplyDeleteBado mama yao Simba, si ni swahiba? tare he 12 October, mtajiju na Mgeveke wenu
ReplyDeleteSafi sana
ReplyDelete