Mshambuliaji wa Yanga Mrisho Ngasa, kushoto akimtoka  beki wa Azam FC, Erasto Nyoni katika mchezo wa Ngao ya Hisani uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanya imeshinda 3-0.
 
Kikosi kamili cha Yanga kilichoifunga Azam FC 3-0 katika mchezo wa Ngao ya Hisani leo.
Kikosi cha Azam FC.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. hahahahahahahahaha kwikwikwikwikwikwikwikwikwi....mmmmmmmmmmmmm.....Pelekeni salam msimbazi....

    ReplyDelete
  2. TWILA KAMBANGWASeptember 14, 2014

    safi sana picha ndiyo limeanza bandugu, mwendo mpaka klabu bingwa barani africa, wana yanga imara na maximo imara

    ReplyDelete
  3. Ankali, tupatie majina ya wachezaji ktk picha ya waliooanza first eleven ya mechi hii ya Ngao ya Hisani kati ya timu za Yanga na Azam.

    Globu ya Jamii inasomwa duniani kote na si wasomaji wote wanajua sura za wachezaji ktk picha.

    Hivyo Ankali tafadhali zingatia viwango vya kukamilisha habari kwa wasomaji wa blogu hii maaaarufu kupita zote inayotumia lugha ya Kiswahili Duniani.

    Mdau
    Diaspora.

    ReplyDelete
  4. Waliosimama, Nadir Haroub (Canavaro)Jaja, Osca Joshua. Calvin Yondani, waliochuchumaa Deogratias Munisi (Dida) Haruna Niyonzima, Mrisho Ngasa, Juma Abdul, Nizal Halfan, Mbuyu Twite... Hope utaenjoy mwana disapora

    ReplyDelete
  5. Bado mama yao Simba, si ni swahiba? tare he 12 October, mtajiju na Mgeveke wenu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...