Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Issa Machibya akikata utepe kuashiria uzinduzi
rasmi wa kituo cha redio jamii Uvinza FM chini ya ufadhili wa shirika
la UNESCO na Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania, ambapo
wanawezesha jamii ziishizo pembezoni mwa nchini kupata mawasiliano ya
radio jamii na kuboresha upatikanaji wa taarifa muhimu. wakishuhudia
ni Meneja huduma kwa jamii Airtel Hawa Bayumi, Mwakilishi wa shirika
la kimataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Rose Haji, na
Mkurugenzi Mtendaji wa Uvinza FM Radio Nuru Kalufya.
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Issa Machibya akiongea wakati wa uzinduzi wa redio Jamii Uvinza FM chini ya mradi wa radio jamii unaofadhiliwa na Airtel kwa Kushirikiana na UNESCO. pichani ni Mkuu wa mkoa wa Kigoma Issa Machibya akiwa na wawakilishi wa radio na UNESCO.
Meneja huduma kwa jamii wa Airtel,Hawa Bayumi akiongea wakati wa
uzinduzi wa redio Jamii Uvinza FM chini ya mradi wa radio jamii
unaofadhiliwa na Airtel kwa Kushirikiana na UNESCO. pichani ni Mkuu
wa mkoa wa Kigoma Issa Machibya akiwa na wawakilishi wa radio na
UNESCO.
Mwakilishi wa shirika la kimataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Rose Haji akiongea wakati wa uzinduzi wa redio Jamii Uvinza FM chini ya mradi wa radio jamii unaofadhiliwa na Airtel kwa Kushirikiana na UNESCO. pichani ni Mkuu wa mkoa wa Kigoma Issa Machibya akiwa na wawakilishi wa radio na UNESCO.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...