Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Issa Machibya akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha redio jamii Uvinza FM chini ya ufadhili wa shirika la UNESCO na Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania, ambapo wanawezesha jamii ziishizo pembezoni mwa nchini kupata mawasiliano ya radio jamii na kuboresha upatikanaji wa taarifa muhimu. wakishuhudia ni Meneja huduma kwa jamii Airtel Hawa Bayumi, Mwakilishi wa shirika la kimataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Rose Haji, na Mkurugenzi Mtendaji wa Uvinza FM Radio Nuru Kalufya.
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Issa Machibya akiongea wakati wa uzinduzi wa redio Jamii Uvinza FM chini ya mradi wa radio jamii unaofadhiliwa na Airtel kwa Kushirikiana na UNESCO. pichani ni Mkuu wa mkoa wa Kigoma Issa Machibya akiwa na wawakilishi wa radio na UNESCO.
Meneja huduma kwa jamii wa Airtel,Hawa Bayumi akiongea wakati wa uzinduzi wa redio Jamii Uvinza FM chini ya mradi wa radio jamii unaofadhiliwa na Airtel kwa Kushirikiana na UNESCO. pichani ni Mkuu wa mkoa wa Kigoma Issa Machibya akiwa na wawakilishi wa radio na UNESCO.
Mwakilishi wa shirika la kimataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Rose Haji akiongea wakati wa uzinduzi wa redio Jamii Uvinza FM chini ya mradi wa radio jamii unaofadhiliwa na Airtel kwa Kushirikiana na UNESCO. pichani ni Mkuu wa mkoa wa Kigoma Issa Machibya akiwa na wawakilishi wa radio na UNESCO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...