Balozi mpya wa Tanzania nchini Sweden Mhe. Dorah Msechu akisindikizwa kuingia kwenye kasri ya Mfalme wa Sweden ili kuwasilisha hati zake za utambulisho.
  Balozi mpya wa Tanzania nchini Sweden Mhe. Dorah Msechu na ujumbe wake wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuonana na Mfalme wa Sweden  kasri ya Mfalme wa Sweden akipofika kuwasilisha hati zake za utambulisho.
   Balozi mpya wa Tanzania nchini Sweden Mhe. Dorah Msechu akikaribishwa kuonana na  Mfalme wa Sweden kuwasilisha hati za utambulisho
Baada ya kuwasilisha hati za utambulisho jioni yake kulifanyika hafla iliyoandaliwa na jumuiya ya Watanzania nchini Sweden kumkaribisha rasmi. Hapo Balozi Dorah Msechu akiamkia kadamnasi ya Watanzania kwenye sherehe hiyo.
Kwa picha zaidi tembelea libeneke la ubalozi 
wa Tanzania nchini Sweden... BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Balozi Dora mwana Diplomasia uliobobea umeshine kweli kweli tunajisikia kuwa tumewakilishwa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...