Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti wa Jiji la Turnhout la Ubelgiji Mhe. Peter Segers baada kufungua rasmi Maonesho Wasanii wa kuchora wa nchi mbalimbali wakiwemo wa Tanzania wanaojulikana kwa jina la Tinga Tinga. Maonesho hayo yataendelea hadi mwishoni mwa mwezi huu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...