Afisa Ushauri wa Vijana wa UNFPA – Tanzania Bi. Farida Juma malezo kuhusu njia sahihi ya matumizi ya Kondomu kwa baadhi ya vijana waliotembelea banda la UNFPA katika viwanja vya Maonyesh ya Wiki ya Vijana yanayofanyika mjini Tabora.
Mkuu wa Kitengo cha Sheria wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi. Esther Riwa akigawa jarida la Si Mchezo kwa mmoja wa wananchi aliyetembelea banda la Wizara hiyo katika Maonyesho ya Wiki ya Vijana mjini Tabora.
Afisa Utamaduni wa Bodi ya Filamu Tanzania Bw. Simon Peter akielezea kuhusu namna ya uandishi wa miswada ya Filamu kwa mmoja wa vijana awaliotembelea banda lao katika Maonyesho ya Wiki ya Vijana mjini Tabora.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...