Ajali mbaya imetokea jioni ya leo katika eneo la Tengeru, jijini Arusha ikihusisha gari dogo aina ya Toyota Hiace (pichani juu) linalofanya safari zake kati ya Usa River na Katikati ya mji wa Arusha na Lori la Mafuta. Chanzo cha Ajali hiyo inaelezwa kwamba ni hiyo daladala lilikuwa likijaribu kulipita gari jingine ndipo likakutana na loli hilo la mafuta na kugongana uso kwa uso na kusababisha vifo vya abiria wote waliokuwa kwenye daladaa hilo ambao idadi yake haijafahamika rasmi. Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
Home
Unlabelled
Breaking newzzzz....: Ajali mbaya yatokea jijini Arusha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Serikali itoe elimu kwa madereva ambao walio chakachua reseni hawana ujuzi wa kudrive, ili waelewe nini maana ya no overtake na kill your speep. Bila ya hivyo ajali zitakua haziishi hapa nchini.
ReplyDeleteEnough is enough, this is waaaay too much kwa madereva wa tanzania , TERRIBLE COUNTRY
ReplyDeletePOLENI SANA WAFIWA WA AJALI HII. MUNGU AWAPATIE NGUVU NEEMA NA AMANI WAKATI HUU WA MSIBA.
ReplyDeleteUkipoteza mtu unayemfahamu katika ajali hizi ndiyo unaona jinsi ambavyo maisha ya watu yanapotea bure kwa sababu ya haraka au matukio ambayo yangeweza kuzuilika.
ReplyDeleteSpidi ya fasta fasta itatumaliza!
ReplyDelete