Gari
aina ya Toyota Hiace linalofanya safari yake kati ya KCMC na katikati
ya mji wa Moshi likiwa katika bustani ya mzunguko wa YMCA baada ya
kupitiliza toka barabarani.
Sehemu
ya uharibifu uliofanyika baada ya gari hilo kufeli breki na kunyoosha
moja kwa moja na kugonga kingo za keep left ya YMCA.
Askari
wa Kikosi cha usalama barabarani wakijaribu kuangalia maeneo
yaliyoaharibika baada ya gari hilo kupita katika kipita shoto hicho.
Fundi
mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja akitizama chini ya gari
ili kutambua endapo kuna tatizo zaidi baada ya ajali hiyo ambayo hata
hivyo haikusababisha madhara makubwa kwa abiria.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...