Mbunge wa Kilolo Profesa Msola akieleza alivyosimamia utekelezaji wa ilani ya CCM katika jimbo hilo kwenye mkutano huo
 Mwenyekiti wa serikali ya Kijiji cha Utengule kwa tiketi ya Chadema, Parcras  Mkakatu akimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakati wa mkutano kwenye zahanati ya Kijiji hicho
 Mwenyekiti wa serikali ya Kijiji cha Utengule (Chadema), Parcras  Mkakatu akieleza utekelezaji wa shughuli za maendeleo katika kijiji cha Utengule kwa Kinana wakati wa mkutano kwenye zahanati ya Kijiji hicho
 Mwenyekiti wa serikali ya Kijiji cha Utengule (Chadema), Parcras  Mkakatu akiendelea kueleza kwa Kinana shughuli mbalimbali za maendeleo wakati wa mkutano kwenye zahanati ya Kijiji hicho
 Wazee wa Kihehe wakimpamba Kinana kwa mavazi rasmi ya keshima ya kabila hilo katika kijiji cha  Utengule, baada ya kuhutubia wananchi kwenyeviwanja vya zahanati ya Kijiji hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...