Mzee Daniel Madaha Machemba.
Baba yetu Mpenzi,Ni miaka 27 sasa imepita tangu ulipoenda kwenye makao ya kudumu Baba yetu Mpendwa tarehe 13/10/1987
Kumbukumbu yako bado ipo utafikiri jana tu kwa sisi uliotuacha nyuma, uwepo wako bado upo.
Unakumbukwa na wengi tu, katika familia. Kipekee una kumbukwa sna na Mkeo, Mama Machemba.
Watoto wako: (1) Mary Mbati
(2) Dr. James Machemba
(3) Richard Machemba
Wajukuu zako: (1) Godwin Mbati, (2) Careen Mbati (3) Joanne Machemba (4) Daniel Machemba
Pia unakumbukwa na dada zako, Thereza na Ndekele, wajomba, wakwe, pamoja na ndugu na Marafiki.
Sisi tulikupenda sana lakini Mungu alikupenda zaidi, pumzika kwa amani
Jina la Bwana lihimidiwe.
Amina.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...