MZEE ASHERI MWASANDUBE

Umetimiza miaka miwili tangu ulipoitwa na Bwana tarehe 11 Oktoba, 2013. Tunamshukuru Mungu kwa kutupa nguvu ya kuvumilia hadi sasa. Tunakumbuka hekima na busara zako ambapo pengo hilo hakuna wa kuliziba kwani ulikuwa kiongozi, nuru na furaha katika familia yetu.

Unakumbukwa daima na Mke wako mpendwa Elesia Katapa, watoto wako Hilda, Salome, Stephen, Sekela, Abrahamu, Wakwe zako wajukuu zako pamoja na ndugu jamaa na marafiki.

Tunaamini siku moja tutaungana nawe katika uzima wa milele.

Pumzika kwa amani baba yetu mpendwa.
2 Timotheo 4:7-8

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mzee Mwasandube Tutakukumbuka Daima,
    Ulikua rafiki wa Karibu wa Baba yangu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...