Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro (katikati ), akikata utepe akizindua zahanati kwa ajili ya matibabu ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi ya WAMA Nakayama iliyopo katika kijiji cha Nyamisati, wilayani Rufiji mkoani Pwani wakati mahafali ya pili yaliyofanyika Octoba 27,2014 (kulia), Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, na kushoto ni Kaimu Balozi wa Japan nchini, Kazuyoshi Matsu.
Wangeni waalikwa wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya kuunza kwa hafla hiyo.
Wageni wakiwa kwenye hafla hiyo.
Kutoka kushoto Kaimu Balozi wa Japan nchini, Kazuyoshi Matsu, WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia, Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro, Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, Mwenyekiti wa bodi ya shule ya Wama Nakayama Dr. Ramadhan Dau, Naibu waziri wa Tamisemi.Kassim Majaliwa wakiimba wimbo wa Taifa uliondaliwa na wanafunzi wa shule ya WAMA Nakayama kabla ya kaanza hafla hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...