Mdau  Mhandisi Saidi Mkwawa wa wakala wa ukaguzi Madini Tanzania (TMAA) akiwa anatetea utafiti wake ili apate nondozz ya Master of Engineering Science (Metallurgy) katika Chuo kikuu cha curtin university, campus ya  Western Australia School of Mine hivi karibuni. Utetezi ulipita kwa mafanikio
 Mdau Mhandisi Mkwawa wa wakala wa ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) akitoa neno  la shukrani kwa wafadhili kwa niaba ya wenzake mara baada ya kutunikiwa nondozzzz ya Master of Engineering Science (Metallurgy) KUTOKA CHUO KIKUU CHA CURTIN NCHINI AUSTRALIA.
 Mdau Mhandisi Mkwawa wa wakala wa ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) AKIPOKEA CHETI MAALUM KUTHIBITISHA AMEMALIZA KULA NONDOZZZZ  ya Master of Engineering Science (Metallurgy) KUTOKA CHUO KIKUU CHA CURTIN NCHINI AUSTRALIA KUTOKA KWA MWAKILISHI WA AUSTRALIA AWARDS .

 Mdau Mhandisi Mkwawa wa wakala wa ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) AKIWA NA WAHITIMU WENZAKE MARA BAADA YA kutunikiwa nondozzzz ya Master of Engineering Science (Metallurgy) KUTOKA CHUO KIKUU CHA CURTIN NCHINI AUSTRALIA.
 Mdau Mhandisi Mkwawa wa wakala wa ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA)  AKITAFAKARI SAFARI NDEFU ALIYOPITIA KABLA YA kutunikiwa nondozzzz ya Master of Engineering Science (Metallurgy) KUTOKA CHUO KIKUU CHA CURTIN NCHINI AUSTRALIA.
 Mdau Mhandisi Mkwawa akifurahia nondozzz yake kwa kuruka hewani kama hua

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...