Beki namba 5 wa timu ya soka ya Ardhi, Selemani Kungulilo (kushoto) akiwania mpira pamoja na beki  wa timu ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Seif Kibangu (kulia) katika mchezo wa SHIMIWI uliofanyika leo uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.Mambo ya Ndani ilishinda kwa bao 1-0.
 Timu ya soka ya Mambo ya Ndani ya Nchi baada ya mechi kati yake na Ardhi katika uwanja wa Jamhuri,Morogoro leo.
 Viungo wa timu ya soka ya Sheria (jezi ya orange) wakimzonga mlinzi wa timu ya soka ya Kilimo, John Tamba katika mchezo wa SHIMIWI uliofanyika uwanja wa Tumbaku mjini Morogoro leo.
 Timu ya soka ya Kilimo kabla ya mpambano dhidi yake na timu ya Sheria katika uwanja wa Tumbaku mjini Morogoro.Kilimo ilifunga mabao 5-4.
Timu ya soka ya Sheria kabla ya kuanza kwa mpambano dhidi yake na Kilimo uliofanyika uwanja wa Tumbaku mjini Morogoro.
Mchezaji wa timu ya soka ya Ardhi, Martin Utonga (kulia) akiwania mpira pamoja na beki namba mbili wa timu ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ibrahim Msumai (kushoto) katika mchezo wa SHIMIWI uliofanyika leo uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.Mambo ya Ndani ilishinda kwa bao 1-0.
Picha zote na Happiness Shayo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...