Assalaamu alaykum wa Rahmatul Laahi wa Barakaatuh
 Jumuia ya An Noor ya Mji wa Leicester, Uingereza, ina furaha kuwatangazia na kuwaalika Waislamu wote kutoka katika mji wa Leicester na vitongoji vyake katika Sherehe za Eid ul Adh-ha kwa Utaratibu huu hapa chini:
SIKU:   Jumamosi tarehe 4 Oktoba 2014
PAHALA:         Masjid An Noor Leicester, 170a Belgrave Gate, Leicester LE1 3XL
WAKATI:         Takbeer msikitini zitaanza Saa Tatu Kamili Asubuhi (9.00am)
                    Na Sala ya Eid itasaliwa Saa Tatu na Nusu asubuhi (9.30am).
STAFTAHI:
Inshaa Allah baada tu ya Sala ya Eid, Khutba na kupongezana, tutajumuika kwa pamoja kupata Kifungua kinywa yaani Staftahi kama kawaida yetu ya kila mara.
Tafadhali Tufike kwa Wakati ili shughuli ziende kwa utaratibu uliowekwa.
Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana na Omar Hussein 07565512058
au madrasatulnoor.01@gmail.com


KULLU AM WA ANTUM BIKHAYR

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...