Assalaamu alaykum
wa Rahmatul Laahi wa Barakaatuh
Jumuia ya An Noor
ya Mji wa Leicester, Uingereza, ina furaha kuwatangazia na kuwaalika Waislamu
wote kutoka katika mji wa Leicester na vitongoji vyake katika Sherehe za Eid ul
Adh-ha kwa Utaratibu huu hapa chini:
SIKU:
Jumamosi tarehe 4 Oktoba 2014
PAHALA: Masjid An Noor Leicester, 170a Belgrave Gate, Leicester LE1
3XL
WAKATI: Takbeer msikitini zitaanza Saa Tatu Kamili Asubuhi (9.00am)
Na Sala ya Eid itasaliwa
Saa Tatu na Nusu asubuhi (9.30am).
STAFTAHI:
Inshaa Allah baada
tu ya Sala ya Eid, Khutba na kupongezana, tutajumuika kwa pamoja kupata Kifungua kinywa
yaani Staftahi kama kawaida yetu ya kila mara.
Tafadhali Tufike
kwa Wakati ili shughuli ziende kwa utaratibu uliowekwa.
Kwa maelezo zaidi
tafadhali wasiliana na Omar Hussein 07565512058
au
madrasatulnoor.01@gmail.com
KULLU AM WA ANTUM
BIKHAYR
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...