Askofu wa Kanisa Katoliki  Jimbo la Kigoma, Joseph Mlola akipongezwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Asie na Wizara Maalum), Prof Mark Mwandosya alimwakilisha Rais Jakaya Kikwete kwenye ibada ya kusimikwa kwa askofu huyo iliyofanyika katika Kanisa Kuu Katoliki Kigoma, jana.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Asie na Wizara Maalum), Prof Mark Mwandosya akiwasalimia waumini wa Kanisa Katoliki alipomwakilisha Rais Jakaya Kikwete kwenye ibada ya sisimikwa kwa Askofu wa Kanisa Katoliki  Jimbo la Kigoma, Joseph Mlola iliyofanyika katika Kanisa Kuu Katoliki Kigoma, jana. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...