Moja ya kitu ambacho Jeshi la Polisi nchini limecheza heko,ni kuanzisha kitengo cha Ulinzi shirikishi kwa kuwachukua vijana mbali mbali mitaani na kuwafunda vyema baadhi ya kazi za jeshi hilo vijana wa Polisi Jamii,hiki ni kitu kikubwa na safi sana kwa vijana hao kwa wingi wao,kwani wameweza kulipiga tafu Jeshi hilo,hasa katika kusaidia Askari wa Usalama Barabarani kuongoza magari ili kupunguza misongamano isiyokuwa na ulazima.pichani ni mmoja wa Polisi Jamii akiongoza magari barabarani.
Home
Unlabelled
POLISI JAMII AKIWAJIBIKA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hata mimi nawapongeza sana kwa hilo ila kuna tatizo moja nalo ni "JE NANI ANAWALIPA?"
ReplyDeleteSababu ya kuuliza hivi ni kuwa sehemu nyingine wamekuwa ni tatizo sababu hawana mishahara hivyo wanasumbua watu pamoja na kuomba / kulazimisha rushwa toka kwa wananchi