Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua Mkutano wa viongozi
wa dini kubwa za Kikiristo na Kiislam nchini kwa lengo la kujenga na
kuleta amani na maelewano nchini katika hoteli ya White Sands jijini Dar
es salaam. Mkutano huo wa siku nne ulioanza jana unajulikana kama Tanzania Christian & Muslim Religious Leaders’ Initiative for Peace and Co-existence.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua Mkutano wa viongozi
wa dini kubwa za Kikiristo na Kiislam nchini kwa lengo la kujenga na
kuleta amani na maelewano nchini katika hoteli ya White Sands jijini Dar
es salaam. Mkutano huo wa siku nne ulioanza jana unajulikana kama Tanzania Christian & Muslim Religious Leaders’ Initiative for Peace and Co-existence.
THis Is a Noble course.
ReplyDelete