Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Fatma Mwassa
akizungumza na wananchi jana wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya
Vijana yanayofanyika katika viwanja vya Ali Hassan Mwinyi Mkoani Tabora.
Katibu Mkuu wa Wizaraya Habari.Vijana, Utamaduni
na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga akisalimia wananchi jana wakati wa uzinduzi wa
maadhimisho ya wiki ya Vijana yanayofanyika katika viwanja vya Ali Hassan
Mwinyi Mkoani Tabora.
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora Kudra Mwinyimvua
akisalimia wananchi jana wakati wa uzinduzi wa maadhimisho ya wiki ya Vijana
yanayofanyika katika viwanja vya Ali Hassan Mwinyi Mkoani Tabora
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Fatma Mwassa
akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa maadhimisho ya wiki ya Vijana jana
mkoani Tabora.Kushoto ni ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni
na Michezo Bibi. Sihaba Nkinga,Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora Bibi. Kudra
Mwinyimvua na wa mwisho kulia ni Mwakilishi wa UNFPA Tausi Hassan.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...