Familia ya Bandawe ya Newark Delaware inasikitika kutangaza kifo cha baba mzazi wa Bi.Vicky Bandawe Mzee Jonas Soka kilichotokea asubuhi ya kuamkia leo huko Arusha baada ya kuugua kwa muda mfupi.

Msiba upo nyumbani kwa wafiwa 719 6th St Newark Delaware 19711.
Kama desturi yetu tunaombwa tuchukue nafasi hii kuwapa pole na faraja wafiwa Bw. na Bibi Bandawe katika kipindi hiki kigumu.. Mazishi yanatarajiwa kufanyika huko Kombo Moshi Jumamosi Oktoba 18,2014.

Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na :
Emmanuel Bandawe 302-803-9487.
Vicky Bandawe 302-256-4516.

Eunice Magonya 301-204-0357.

Bwana ametoa, Bwana ametwaa na jina lake lihimidiwe. AMEN.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...