![]() |
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Ujerumani nchini Tanzania, Egon Kochanke akisoma hotuba yake. |
![]() |
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akisoma hotuba yake. |
![]() |
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Ujerumani nchini Tanzania, Egon Kochanke na mke wa Balozi wakikata keki maalum kama ishara ya kusherehekea tafrija hiyo. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA |
WAPINGA MUUNGANO WA TANZANIA SALAMU ZENU!
ReplyDeleteNinyi mkiwaza kuvunjika kwa Muungano wenzenu wenye akili nzuri na uwezo wa kufikiri Ujerumani wanafurahia na kuadhimisha Muungano!
Am kweli binaadamu tupo sawa lakini akili hazilingani, ndio maana mnaweza kuzaliwa ktk ukoo lakini moja lazima liwe tutusa!