Michuano ya DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP hatua ya robo fainali imeendelea kwenye uwanja wa bandari maeneo ya Tandika Mwembeyanga kwa kuzikutanisha timu za Burudani Fc ya Temeke mikoroshini dhidi ya Kiluvya Utd kutoka mkoani Pwani
Mchezo huo umemalizika kwa timu hizo kushindwa kufungana baada ya dakika 90 ikabidi changamoto ya mikwaju ya penati itumike kumpata mshindi na timu ya Burudani ikafanikiwa kupata mikwaju minne dhidi ya miwili ya kiluvya,golikipa Abraham Abdallah wa Burudani alipangua penati moja ya kiluvya.
KIKOSI CHA BURUDANI FC
KIKOSI CHA KILUVYA UTD.........
SEHEMU YA MASHABIKI WAKITAZAMA MPAMBANO MKALI KATI YA BURUDANI NA KILUVYA UNITED.
KIKOSI CHA BURUDANI FC
KIKOSI CHA KILUVYA UTD.........
SEHEMU YA MASHABIKI WAKITAZAMA MPAMBANO MKALI KATI YA BURUDANI NA KILUVYA UNITED. 

Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...