KATIBU MKUU WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII
DKT.ADELHELM JAMES MERU AKIFANYA
MAKABIDHIANO YA OFISI NA ALIYEKUWA
KATIBU MKUU WA WIZARA YA MALISILI NA UTALII, BI. MAIMUNA TARISHI YALIYOFANYIKA JANA JIONI TAREHE
17/11/2014 MPINGO HOUSE JIJINI DAR ES
SALAAM.
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bi. Maimuna Tarishi, akimkabidhi vitendea kazi Katibu Mkuu Mpya wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt.Adelhelm James Meru, yaliyofanyika jana jioni tarehe 17/11/2014 Mpingo House Jijini Dar es salaam.
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bi. Maimuna
Tarishi, akipeana mkono mara
baada ya kumkabidhi vitendea kazi Katibu Mkuu Mpya wa Wizara ya
Maliasili na Utalii, Dkt. Dkt.Adelhelm
Katibu Mkuu Mpya wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt.Adelhelm James Meru, Akiwa kwenye picha ya pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bi. Maimuna Tarishi, mara baada ya kukabidhi vitendea kazi yaliyofanyika jana jioni tarehe 17/11/2014 Mpingo House Jijini Dar es salaam. Mwingine ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bw. Selestini Gesimba.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...