Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa Chuta
ambapo aliwaambia kuwa maendeleo yanakuja kwa kufanya kazi na kujituma,
ambapo aliwaambia kila nchi itaendelezwa na watu wake.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Mh.Bernard Membe Mbunge wa Jimbo la Mtama na ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Waziri wa Mambo ya nje wakiwa kwenye picha ya pamoja na Makatibu wa Matawi wakati wa zoezi la kukabidhi baiskeli.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kukamua maziwa katika shamba la mifugo Narunyu katika kijiji cha Kiwalala jimbo la Mtama.
Kaatibu wa NEC Itiakdi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Chiuta ambapo aliwaambia Chiuta ni nyumbani na aliwataka watu wachukue tahadhari na vyama visivyo na sera wala dira.
Wananchi wakisikiliza mkutano.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Mh.Bernard Membe Mbunge wa Jimbo la Mtama na ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Waziri wa Mambo ya nje wakiwa kwenye picha ya pamoja na Makatibu wa Matawi wakati wa zoezi la kukabidhi baiskeli.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kukamua maziwa katika shamba la mifugo Narunyu katika kijiji cha Kiwalala jimbo la Mtama.
Kaatibu wa NEC Itiakdi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Chiuta ambapo aliwaambia Chiuta ni nyumbani na aliwataka watu wachukue tahadhari na vyama visivyo na sera wala dira.
Wananchi wakisikiliza mkutano.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...