Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa Chuta ambapo aliwaambia kuwa maendeleo yanakuja kwa kufanya kazi na kujituma, ambapo aliwaambia kila nchi itaendelezwa na watu wake.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja  na Mh.Bernard Membe Mbunge wa Jimbo la Mtama na ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Waziri wa Mambo ya nje wakiwa kwenye picha ya pamoja na Makatibu wa Matawi wakati wa zoezi la kukabidhi baiskeli.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kukamua  maziwa katika shamba la mifugo Narunyu katika kijiji cha Kiwalala jimbo la Mtama.

 Kaatibu wa NEC Itiakdi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Chiuta ambapo aliwaambia Chiuta ni nyumbani na aliwataka watu wachukue tahadhari na vyama visivyo na sera wala dira.

 Wananchi wakisikiliza mkutano.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...