Mkuu wa Bandari ya Kyela, Bw. Percival Ntetema (Aliyevaa tai) akiwapa maelezo wajumbe wa Timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo sehemu inapojengwa gati mpya (halionekani) katika Bandari ya Kiwira.
Wajumbe wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango walipata fursa ya kujionea meli pekee inayotoa huduma ya kusafirisha abiria na mizigo (MV Songea) katika Ziwa Nyasa kwa upande wa Tanzania.
Wajumbe wa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango walipata fursa ya kujionea meli pekee inayotoa huduma ya kusafirisha abiria na mizigo (MV Songea) katika Ziwa Nyasa kwa upande wa Tanzania.
Mkuu wa Bandari ya Kyela, Bw. Percival Ntetema (Aliyevaa tai) akiwaambia jambo wajumbe wa Timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo sehemu inapojengwa gati mpya (halionekani) katika Bandari ya Kiwira.
SAWA GATI NA UPANUZI WA BANDARI MBONA HAMTUAMBII MTALIKA KISHA SEMA HAKUNA MAZUNGUMZO NA TANZANIA HAINA HATA INCHI MOJA YA MAJI KWENYE ZIWA NYASA,TUNATAKA TAARIFA
ReplyDelete