Lalamiko langu kubwa ni kuhusu VETA kumekuwa na tatizo la ucheleweshaji wa vyeti pindi wahitimu wanapomaliza course zao siju ni kwanini? 

Tukiangaliwa vyuo vingi vinavyomilikiwa na serikali wanafunzi wanapomaliza shule yao na matokeo yao yakatoka uwa wanapewa result
slip inayoonyesha kuwa huyu mtu amemaliza course fulani na ameshinda wakati anasubili cheti chake na cheti hakichelewi sana kutoka kama ilivyo kwa VETA kitu ambacho ni tofauti na VETA.

Mwanafunzi anapomaliza course yake na matokeo yakatoka amefauru anasubili cheti karibu mwaka mzima sasa huyo mwanafunzi au mhitimu kama anatafuta kazi ataipataje bila cheti? au atafanyaje maombi katika vyuo vingine kwa ajili ya kujiendeleza? Jamani tunaomba milifanyie kazi maana sio kawaida kabisa ni uonevu hasa kwa vyuo vya mikoani kazi zenyewe zimekuwa ngumu bila cheti cha uhakika sio rahisi kupata kazi.
TUNAOMBA WAHUSIKA WALIFANYIE KAZI
Nimewasilisha

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...