Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza na wananchi wa jamii ya Wadzabe kutoka wilayani Karatu,mkoa wa Arusha leo wakati wa Kongamano la siku tatu la Wadau wa Ufugaji Nyuki barani Afrika na Mazao ya Asali linalofanyika jijini Arusha.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akikagua mazao yanayotokana na ufugaji wa Nyuki kwenye banda la Wajasiriamali kutoka wilayani Kibondo mkoa wa Kigoma.
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza jambo na Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu leo wakati akikagua mabanda ya wajasiriamali kwenye Kongamano la siku tatu la Wadau wa Ufugaji Nyuki barani Afrika na Mazao ya Asali linalofanyika jijini Arusha.
Wadau kutoka maeneo mbalimbali nchi wakionesha bidhaa zao zinazotokana na Ufugaji Nyuki na mazao yake likiwa na lengo la kutunza mazingira na kukuza uchumi.
Wadau kutoka maeneo mbalimbali nchi wakionesha bidhaa zao zinazotokana na Ufugaji Nyuki na mazao yake likiwa na lengo la kutunza mazingira na kukuza uchumi.
Banda la Shirika la TBS linalohakiki ubora wa bidhaa mbalimbali likiwa miongoni mwa washiriki ili kuhakikisha ubora wa bidhaa za wajasiriamali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...