Mdau mkongwe wa Globu ya Jamii Deogratius Dotto jana kalamba nondozzz ya Elimu ya Jamii katika Utawala wa Umma (Master of Arts in Public Administration) katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam. Nasi hapa chumba cha habari tunampa pongezi sana sana na kumtakia safari njema kuelekea PhD ambayo tayari amekwishaianza...Hongera mdau Deo!
Home
Unlabelled
mdau deo alamba nondozzzz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Babylon by force big up! Hivi christmass ishapita?
ReplyDelete