Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akipokea Taarifa ya Chama Wilaya Amani kutoka kwa Katibu Abdalla Mwinyi katika mkutano wa Mabalozi wa Mkoa wa Mjini Unguja akiwa katika ziara yake ya kuimarisha Chama cha Mapinduzi katika Mikoa ya Unguja.
Mwenyekiti wa CCM MKoa wa Mjini Mhe,Borafya Silima Juma akiwapa nasaha Mabalozi wa CCM Mkoa wa Mjini katika wilaya ya Amani wakati mkutano wa kuimarisha Chama cha Mapinduzi ikiwa ni mfululizo wa ziara ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein.
Mjumbe wa Mkutano wa Mabalozi wa Wilaya ya Amani CCM kutoka Mpendae Gabriel Mlekwa akitoa mchango wake katika mkutano maalum wa Mabalozi wa Wilaya hiyo ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiwa katika mfululizo wa ziara ya kuimarisha Chama katika Mkoa wa Mjini Unguja.
Balozi kutoka Shehia ya Kwawazee jimbo la Magomeni Juma Ameir Jecha akitoa mchango wake katika mkutano maalum wa Mabalozi wa Wilaya ya Amani ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiwa katika mfululizo wa ziara zake za kuimarisha Chama katika Mkoa wa Mjini Unguja.
Balozi kutoka Shehia ya Chumbuni Bibi Nunuu Khatib Hamad akitoa mchango wake katika mkutano maalum wa Mabalozi wa Wilaya ya Amani ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiwa katika mfululizo wa ziara zake za kuimarisha Chama katika Mkoa wa Mjini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Mabalozi wa Majimbo mbali mbali ya wilaya ya Amani Unguja akiwa katika mfululizo wa ziara zake za kuimarisha Chama katika Mkoa wa Mjini Unguja katika ukumbi wa CCM Mkoa Amani leo.Picha na Ikulu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...