Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi,Dr. Titus Mlengeya Kamani (katikati) akishiriki kwenye mkutano wa Mawaziri wenye dhamana ya Mifugo,Mkutano huo umefanyika Katika ukumbi wa mikutano wa AU-IBR Jijini Nairobi, Kenya. Lengo la mkutano ni kujadili Mkakati wa Maendeleo ya Mifugo Afrika kwa kipindi cha 2015-2035
Sehemu ya Mawaziri wenye dhamana ya Mifugo wakiwa kwenye Mkutano huo.
Picha ya pamoja ya Mawaziri wenye dhamana ya Mifugo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...