Waziri Mkuu Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli,Mh. Edward Lowassa (kushoto) akisalimiana na sehemu ya viongozi wa jamii ya wafugaji kutoka katika baadhi ya mikoa hapa nchini waliotembelea bungeni leo.Picha na Deusdedit Moshi,Globu ya Jamii Kanda ya Kati.
Katibu wa Bunge,Dkt. Thomas Kashilila (katikati) akiteta jambo na Mchungaji Luckson Mwanjale (kushoto) na Mh. Godfrey Zambi katika Viwanja vya Bunge,Mjini Dodoma leo.
Waziri wa Afrika Mashariki,Mh. Samuel Sitta (katikati) akisalimiana na Baadhi ya Wachungaji wa Mkoa wa Dodoma waliotembelea Bungeni hapo leo.
Waziri wa Afrika Mashariki,Mh. Samuel Sitta na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (kazi maalum),Prof. Mark Mwandosya wakiwa katika picha ya pamoja na Baadhi ya Wachungaji wa Mkoa wa Dodoma waliotembelea Bungeni hapo leo.Picha na Deusdedit Moshi,Globu ya Jamii Kanda ya Kati.
Katibu wa Bunge,Dkt. Thomas Kashilila (katikati) akiteta jambo na Mchungaji Luckson Mwanjale (kushoto) na Mh. Godfrey Zambi katika Viwanja vya Bunge,Mjini Dodoma leo.
Waziri wa Afrika Mashariki,Mh. Samuel Sitta (katikati) akisalimiana na Baadhi ya Wachungaji wa Mkoa wa Dodoma waliotembelea Bungeni hapo leo.
Waziri wa Afrika Mashariki,Mh. Samuel Sitta na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (kazi maalum),Prof. Mark Mwandosya wakiwa katika picha ya pamoja na Baadhi ya Wachungaji wa Mkoa wa Dodoma waliotembelea Bungeni hapo leo.Picha na Deusdedit Moshi,Globu ya Jamii Kanda ya Kati.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...