Meneja wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) Tawi la Morogoro, James Ndimbo (kushoto) akikabidhi sehemu ya msada wa madawati 150 kwa Meneja Fedha wa Kampuni ya Sukari Kilombero, Mark Roe Scott (kulia) yaliyotolewa na NBC kwa ajili ya shule sita za msingi wilayani Kilombero. Hafla ya makabidhiano ilifanyika Kilombero, Morogoro jana. Wa pili kushoto ni Ofisa Mauzo na Masoko wa NBC Morogoro, Mary Mwansele na mwalimu wa shule ya msingi Lyahira, Sara Mwanukuzi.
 Meneja wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) Tawi la Morogoro, James Ndimbo (kushoto) akikabidhi sehemu ya msada wa madawati 150 kwa Meneja Fedha wa Kampuni ya Sukari Kilombero, Mark Roe Scott (kulia) yaliyotolewa na NBC kwa ajili ya shule sita za msingi wilayani Kilombero. Hafla ya makabidhiano ilifanyika Kilombero. Wa pili kushoto ni Ofisa Mauzo na Masoko wa NBC Morogoro, Mary Mwansele na mwalimu wa shule ya msingi Kantui, Prisca Kasanga. 
Shule ya Msingi Kilombero wakipokea moja ya madawatri kutoka kwa Meneja wa Benki ya NBC Tawi la Morogoro, James Ndimbo (kushoto).
Shule ya Muungano wakipokea moja ya madawatri kutoka kwa Meneja wa Benki ya NBC Tawi la Morogoro, James Ndimbo (kushoto).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...