Sehemu ya mabaki ya Helkopta aina ya Chopa iliyopiga mweleka mapema leo asubuhi maeneo ya Kipunguni B Ukonga jijini Dar es Salaam na kuua watu wanne waliokuwemo ndani ya Chopa hiyo hiyo wakiwa ni rubani pamoja na askari watatu.Chanzo cha Chopa hiyo kupiga mweleka bado hakijafahamika mpaka sasa.
Sehemu ya Mashuhuda wakiangalia mabaki ya Chopa hiyo.
Sehemu ya umati wa watu waliofika kushuhudia ajali hiyo iliyotokea mapema leo eneo la Kipunguni B,jijini Dar es Salaam.Watu wanne wamepoteza maisha kwenye ajali hiyo.Watu hao ni Rubani mmoja na Askari polisi watatu.
Waliofariki ni marubani watatu sio mmoja. Mungu awalaze mahala pema peponi.
ReplyDeleteMungu awarehemu marehemu wote wa ajali hii mbaya, na awape nguvu na imani wafiwa wote. Amen
ReplyDeletePoleni mliopatwa na msiba huu.
ReplyDelete