Katika kuelekea shindano la kubuni jezi mpya ya Taifa Stars, huyu mdau ametutumia  picha hii ikionyesha ubunifu wake... je mnasemaje?

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. tunataka kuona jezi kamili sio shati tu peke yake , jezi maana yake kaptura au kama mnavyoita bukta na shati ili tuamue. napendekeza shati la njano na kaptura nyeusi. ama shati la bluu na kaptura nyeusi.

    ReplyDelete
  2. Nadhani jezi iwe nyeusi mgongoni, kifuani blue na kijani halafu bukta nyeusi michilizi njano

    ReplyDelete
  3. Tunachohitaji Watanzania ni timu bora, jezi si muhimu sana wakati huu kama tutaendelea kuwa wasindikizaji..

    ReplyDelete
  4. Hiyo jezi ya ju mbona "Yanga" sana...Mimi siikubali mwanangu...

    ReplyDelete
  5. Hamna ubunifu hapo

    ReplyDelete
  6. Aoneshe pande zote, mbele na nyuma ili tuone kama jezi hiyo ina vigezo vya kuitwa vya timu ya taifa.

    ReplyDelete
  7. Tusiangalie Usimba na Uyanga jezi inayotakiwa zichukuliwe rangi mbili kutoka bendera ya Taifa ambazo zinangaa,sio jezi nyeusi au blue hazifai kutokana na kuwa na giza kwenye TV hasa kutokana rangi yetu wavaaji kwa hiyo ingekuwa vizuri juu njano mkono mmoja kijani na
    mwingine bluu huku namba na majina kwa rangi nyeusi na bukta nyeusi,sokdi bluu.

    ReplyDelete
  8. dogo jitahidi usikate tamaa ni kazi nzuri tusikatishe watu tamaa, aliyasema kaptura ni kweli sio Bukta ni Kaptura Bukta ni kampuni.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...