Big up na special thanks zifike kwa marafiki Juma Rajabu wa Max malipo, Mwinchade Chambuso wa hella investment, Richard Orombe wa hot shot production, Robby wa Robby One Fashion, Bakari Madega wa Rangers bureau de change, Harisday na Evance Bukuku kutoka event light, Muhidini Michuzi wa Michuziblog, Radio One Mtaa wa Mangoma, East Africa Radio pamoja na E fm kwa kuthubutu kuiboost THE LEGEND 2nd anniversary kwa moyo mmoja na bila kipingamizi chochote kile.
Sina maneno ya kuweza kuelezea faraja gani niliyonayo moyoni except to say, thank you very much and God bless you.
John Dillinga Matlou aka THE LEGEND
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...