Kwa niaba ya familia ya mzee Angulile Mwasumbwe wa Kanyelele Tukuyu Mbeya, tunawashukuru ndugu, marafiki na jamaa zetu wote walioungana nasi kwa hali na mali katika msiba wa baba yetu uliotokea 23/09/2014. 
Mungu hatawapungukia wala kuwaacha.
 Tunamtukuza Bwana awezaye kutufanyia mambo ya ajabu kuliko vile tuwazavyo na tuombavyo (Efeso 3:20); tunamtukuza Mungu kwa kumtwaa Baba yetu katika uzee mwema - Marehemu ameishi miaka 100 kamili (1914 - 2014)
Mbarikiwe Mungu aliye Juu na jina la Bwana lihimidiwe!
 Michael Mwasumbwe Angulile
Marehemu Mzee Angulile Mwasumbwe enzi za uhai wake
Mdau Michael Angulile Mwasumbwe akiwa na babayake enzi alipokuwa hai
Michael na baba
Wakati wa mazishi huko kijijini Manyele, Tukuyu, Mbeya

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Michael pole sana na Msiba M.Mungu amlaze pema peponi .AMIN Old schoolmate at UMBWE

    ReplyDelete
  2. pole mwalimu wangu manow seminary by sis P

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...