Familia ya Stambuli inasikitika kutangaza kifo cha mtoto wao Idrissa Stambuli (32) kilichotokea Jumatatu tarehe 03/11/2014 huko Tanzania. Mazishi yatafanyika Jumatano tarehe 5/11/2014 baada ya salatul dhuhri huko Mbagala, Dar es salaam, Tanzania. 
Kwa hapa Marekani msiba upo nyumbani 
17 Walsh Street, 
Springfield, 
Massachusetts 01109. 
Tutafanya kisomo cha kumuombea marehemu Jumamosi Novemba 8, 2014 kuanzia saa kumi jioni (4pm) mpaka saa Tatu usiku (9pm) katika 
Masjid Al Baqi 
148 Fort Pleasant Avenue, 
Springfield, 
Massachusetts 01118 
Kama ilivyo desturi yetu unaweza kutoa mkono wa pole kwa wafiwa kwa
 mama mzazi wa marehemu 413 783 3069 
Dada wa marehemu Zaidani Stambuli na mumewe 
Wally Masesa 413 272 5036 
Kwa taarifa zaidi wasiliana na Baraka Baraka 413 285 4544 
Maria Sombe 413 364 8146 
Hidaya Masesa 413 737 7186

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...