Familia ya Stambuli inasikitika kutangaza kifo cha mtoto wao Idrissa Stambuli (32) kilichotokea Jumatatu tarehe 03/11/2014 huko Tanzania. Mazishi yatafanyika Jumatano tarehe 5/11/2014 baada ya salatul dhuhri huko Mbagala, Dar es salaam, Tanzania.
Kwa hapa Marekani msiba upo nyumbani
17 Walsh Street,
Springfield,
Massachusetts 01109.
Tutafanya kisomo cha kumuombea marehemu Jumamosi Novemba 8, 2014 kuanzia saa kumi jioni (4pm) mpaka saa Tatu usiku (9pm) katika
Masjid Al Baqi
148 Fort Pleasant Avenue,
Springfield,
Massachusetts 01118
Kama ilivyo desturi yetu unaweza kutoa mkono wa pole kwa wafiwa kwa
mama mzazi wa marehemu 413 783 3069
Dada wa marehemu Zaidani Stambuli na mumewe
Wally Masesa 413 272 5036
Kwa taarifa zaidi wasiliana na Baraka Baraka 413 285 4544
Maria Sombe 413 364 8146
Hidaya Masesa 413 737 7186
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...