Katibu mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Donan Mmbando akiwa kwenye kipindi cha maswali na majibu toka kwa Vivek Muthu pembeni yake na maswali mengine toka kwa wadau waliohudhuria kwenye mkutano wa Afya wa Afrika unaoendelea jijini Dar es Salaam.
 Mmoja ya wadau akiuliza swali kwa Katibu mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Donan Mmbando.
 Wadau toka nchi mbalimbali duniani wakifuatilia kwa karibu yanayoendelea mkutanoni.
Mkutano ukiendelea

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...